dashboard FOMU YA MAONI KWA MTEJA Please enable JavaScript in your browser to complete this form.Please enable JavaScript in your browser to complete this form.Tarehe ya Leo *1. Je ni mara ya ngapi kupata huduma katika Tasisisi yetu? *Mara ya kwanzaZaidi ya mara moja2 a). Ni kwa kiasi gani Umeridhishwa na huduma zetu? *VizuriWastaniSijaridhika NDIYO, Leo lako b). Kama jibu lako ni Hujaridhika na huduma zetu, Tueleze kwanini na eneo/idara gani hujaridhishwa na huduma zake.c) Kama jibu lako ni Vizuri , Tafadhali tueleze maeneo ya huduma ambayo umeridhishwa na huduma zake3. a) Unaonaje hali ya usafi wa mazingira ya Taasisi? *MasafiMachafub). Kama jibu ni Machafu, Tafadhali tutajie maeneo hayo machafu katika Taasisi4 a). Katika sehemu ulizohudumiwa, unaonaje kauli za Watoa huduma wetu? *NzuriMbayab). Kama jibu ni Mbaya ni kauli gani iliyokukwaza na eneo gani la kutolea huduma walikujibu kwa kauli mbaya.5 a). Uliwahi kuombwa au kutoa Rushwa katika eneo lolote hapa Ocean Road ? *NdioHapana b). Kama jibu ni NDIYO, Ni idara au sehemu gani uliyoombwa au kutoa Rushwa ili upatiwe huduma *6. Ulisubiri kwa muda gani kabla ya kuhudumiwa na Mtaalamu wa huduma za Afya wa eneo husika ? *Dakika 0 hadi 30Dakika 30 hadi 60Zaidi ya Saa 17. Tafadhali tueleze changamoto au malalamiko uliyonayo juu ya huduma zetu8.Tafadhali tuandikie Maoni yako au Ushauri au Mapendekezo ya nini kifanyike ili kuboresha huduma zetu TUMA MAONI YAKO Rudi Nyuma