dashboard FOMU YA MAONI KWA MTEJA Please enable JavaScript in your browser to complete this form.Please enable JavaScript in your browser to complete this form. 7. hiyo huduma Tarehe ya Leo *1. Je ni mara ya ngapi kupata huduma katika Tasisisi yetu? *Mara ya kwanzaZaidi ya mara moja2. Ulisubiri kwa mda gani kabla ya kuhudumiwa na mtalamu wa afya wa sehemu husika? *Chini ya dakika 15Dakika 15-30Dakika 30-60Zaidi ya saa 13. Nimfanyakazi gani aliekuhudumia vizuri na wa kitengo gani?4. (i) Unaonaje hali ya usafi wa mazingira ya Taasisi? *Masafi sanaMasafiMachafuMachafu sana(ii) Kama jibu lako ni machafu au machafu sana taja eneo/maeneo machafu5. (i) Unaonaje kauli za watoa huduma wetu? *NzuriKawaidaMbaya(ii) Kama jibu ni mbaya, Je ni kauli gani iliyokukwaza? Na mahali ulipopata hiyo huduma6. Je, umewahi kuombwa rushwa sehemu yoyote ya kupokelea huduma? *NdioHapana7. Eleza changamoto nyingine ulizokumbana nazo wakati ukipatiwa huduma au Tafadhali toa maoni au mapendekezo yoyote ya kuboresha huduma zetu: *8. i) Umeridhika kwa kiasi gani na kiwango cha huduma kilichotolewa na wafanyakazi? *Nimeridhika sanaNimeridhikaWastaniSijaridhikaSijaridhika kabisa ii) Maelezo ya ziada ya huduma uliyopewaTUMA MAONI YAKO Rudi Nyuma