dashboard FOMU YA MAONI KWA MTEJA Please enable JavaScript in your browser to complete this form.Please enable JavaScript in your browser to complete this form.Tarehe ya Leo *1. Je ni mara ya ngapi kupata huduma katika Tasisisi yetu? *Mara ya kwanzaZaidi ya mara moja2. Ulisubiri kwa mda gani kabla ya kuhudumiwa na mtalamu wa afya wa sehemu husika? *Chini ya dakika 15Dakika 15-30Dakika 30-60Zaidi ya saa 13. Nimfanyakazi gani aliekuhudumia vizuri na wa kitengo gani?4. (i) Unaonaje hali ya usafi wa mazingira ya Taasisi? *Masafi sanaMasafiMachafuMachafu sana(ii) Kama jibu lako ni machafu au machafu sana taja eneo/maeneo machafu Kama gani huduma 5. (i) Unaonaje kauli za watoa huduma wetu? *NzuriKawaidaMbaya(ii) Kama jibu ni mbaya, Je ni kauli gani iliyokukwaza? Na mahali ulipopata hiyo huduma6. Je, umewahi kuombwa rushwa sehemu yoyote ya kupokelea huduma? *NdioHapana7. Eleza changamoto nyingine ulizokumbana nazo wakati ukipatiwa huduma au Tafadhali toa maoni au mapendekezo yoyote ya kuboresha huduma zetu: *8. i) Umeridhika kwa kiasi gani na kiwango cha huduma kilichotolewa na wafanyakazi? *Nimeridhika sanaNimeridhikaWastaniSijaridhikaSijaridhika kabisa ii) Maelezo ya ziada ya huduma uliyopewaTUMA MAONI YAKO Rudi Nyuma