
Jamii yaaswa kutoshiriki kukatiza matibabu kwa wagonjwa wa saratani.
Jamii imeaswa kuacha kuwakatizia matibabu wagonjwa wa saratani kwa lengo la kuwapeleka kwenye maombi, tiba za asili na waganga wa jadi kwani wanaweza kuwasababishia madhara makubwa zaidi ikiwemo kifo. Hayo… Read more »