Kikao cha Baraza la wafanyakazi wa Taasisi ya Saratani Ocean Road

      Comments Off on Kikao cha Baraza la wafanyakazi wa Taasisi ya Saratani Ocean Road

Kikao cha kwanza cha baraza la tano la wafanyakazi wa Taasisi ya Saratani Ocean Road kilifanyika tarehe 27/08/2020 katika ukumbi wa mikutano wa Kibaha Conference Centre. Kikao hicho kilichohudhuriwa na wajumbe wa TUGHE taifa na mkoa kilianza saa tatu kamili asubuhi kwa sala maalumu ya kuliombea baraza, Taasisi na Taifa katika utekelezaji ulio bora wa majukumu.

Wajumbe wa Baraza la wafanyakazi wakiwa katika picha ya pamoja

Baada ya wajumbe kujitambulisha, Mwenyekiti Ndugu. Julius Mwaiselage, aliwashukuru wajumbe kwa kuhudhuria mkutano katika muda uliopangwa na kuelezea mafanikio ya kiujumla ambayo baraza iliyapendekeza katika vikao vilivyopita na Taasisi kuyatekeleza. Miongoni mwa mafanikio hayo ni:

    Katika kikao hicho, baraza lilisikiliza na kujadili:

      Wajumbe wa baraza wakisikiliza kwa umakini uwasilishwaji wa ripoti za baraza la wafanyakazi
Wajumbe wa baraza wakisikiliza kwa umakini uwasilishwaji wa ripoti za baraza la wafanyakazi
Wajumbe wa baraza wakisikiliza kwa umakini uwasilishwaji wa ripoti za baraza la wafanyakazi
Wajumbe wa baraza wakisikiliza kwa umakini uwasilishwaji wa ripoti za baraza la wafanyakazi