Category: News&Event

Waziri wa Afya Mhe Mohammed Mchengerwa mapema leo tarehe 02/02/2026 amezindua rasmi matumizi ya mashine aina ya PET CT – Scan ambapo pamoja na uzinduzi huo, ameshuhudia mgonjwa wa kwanza baada ya uzinduzi wa mashine hiyo." rel="bookmark" >

Waziri wa Afya Mhe Mohammed Mchengerwa mapema leo tarehe 02/02/2026 amezindua rasmi matumizi ya mashine aina ya PET CT – Scan ambapo pamoja na uzinduzi huo, ameshuhudia mgonjwa wa kwanza baada ya uzinduzi wa mashine hiyo.

      Comments Off on

Waziri wa Afya Mhe Mohammed Mchengerwa mapema leo tarehe 02/02/2026 amezindua rasmi matumizi ya mashine aina ya PET CT – Scan ambapo pamoja na uzinduzi huo, ameshuhudia mgonjwa wa kwanza baada ya uzinduzi wa mashine hiyo.

Waziri wa Afya Mhe Mohammed Mchengerwa mapema leo tarehe 02/02/2026 amezindua rasmi matumizi ya mashine aina ya PET CT – Scan ambapo pamoja na uzinduzi huo, ameshuhudia mgonjwa wa kwanza… Read more »

Rais wa umoja wa visiwa vya Comoro Bw. Azali Assoumani ametembelea kambi maalum ya madaktari bingwa iliyofika katika mji wa Anjouan na kuzungumza na madaktari

      Comments Off on

Rais wa umoja wa visiwa vya Comoro Bw. Azali Assoumani ametembelea kambi maalum ya madaktari bingwa iliyofika katika mji wa Anjouan na kuzungumza na madaktari

Mapema Leo Rais wa umoja wa visiwa vya Comoro Bw. Azali Assoumani ametembelea kambi maalum ya madaktari bingwa iliyofika katika mji wa Anjouan na kuzungumza na madaktari hao. Akizungumza marabaada… Read more »

Timu ya madaktari bingwa na ubingwa bobezi waingia nchini Comoro kutekeleza agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan

      Comments Off on

Timu ya madaktari bingwa na ubingwa bobezi waingia nchini Comoro kutekeleza agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan

Timu ya madaktari bingwa na ubingwa bobezi kutoka Taasisi ya Saratani Ocean Road inatarajia kuelekea Comoro kwaajili ya kutekeleza agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt…. Read more »

Waziri wa afya Mhe. Jenista Mhagama ametembelea katika Taasisi ya Saratani Ocean Road kuona utoaji huduma za tiba mionzi

      Comments Off on

Waziri wa afya Mhe. Jenista Mhagama ametembelea katika Taasisi ya Saratani Ocean Road kuona utoaji huduma za tiba mionzi

Waziri wa afya Mhe. Jenista Mhagama ametembelea katika Taasisi ya Saratani Ocean Road kuona utoaji huduma za tiba mionzi zinavyoendelea katika Taasisi kwa wagonjwa wa saratani. Mh. Mhagama amejionea kukamilika… Read more »

Naibu waziri mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Doto Biteko amezindua mpango kazi wa Taifa wa haki na ustawi wa watu wenye Ualbino (MTHUWWU)

      Comments Off on

Naibu waziri mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Doto Biteko amezindua mpango kazi wa Taifa wa haki na ustawi wa watu wenye Ualbino (MTHUWWU)

Naibu waziri mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Doto Biteko amezindua mpango kazi wa Taifa wa haki na ustawi wa watu wenye Ualbino (MTHUWWU) na mkakati wa… Read more »