CALL FOR APPLICATIONS FOR TWO PHD POSITIONS
CALL FOR APPLICATIONS FOR TWO PHD POSITIONS
CALL FOR APPLICATIONS FOR TWO PHD POSITIONS
CALL FOR APPLICATIONS FOR TWO PHD POSITIONS
Maadhimisho ya siku ya saratani duniani
Maadhimisho ya siku ya saratani dunianiKatika kuadhimisha Siku ya Saratani Duniani, Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeendelea kuhimiza jamii kuchukua hatua madhubuti za kujikinga dhidi ya saratani na magonjwa mengine yasiyoambukiza. Hayo yamesemwa… Read more »
Waziri wa Afya Mhe Mohammed Mchengerwa mapema leo tarehe 02/02/2026 amezindua rasmi matumizi ya mashine aina ya PET CT – Scan ambapo pamoja na uzinduzi huo, ameshuhudia mgonjwa wa kwanza baada ya uzinduzi wa mashine hiyo.
Waziri wa Afya Mhe Mohammed Mchengerwa mapema leo tarehe 02/02/2026 amezindua rasmi matumizi ya mashine aina ya PET CT – Scan ambapo pamoja na uzinduzi huo, ameshuhudia mgonjwa wa kwanza baada ya uzinduzi wa mashine hiyo.Waziri wa Afya Mhe Mohammed Mchengerwa mapema leo tarehe 02/02/2026 amezindua rasmi matumizi ya mashine aina ya PET CT – Scan ambapo pamoja na uzinduzi huo, ameshuhudia mgonjwa wa kwanza… Read more »
Waziri wa Afya Mhe. Mohamed Mchengerwa leo amezindua rasmi Bodi ya wadhamini ya Taasisi ya saratani ocean road, katika hafla fupi iliyofanyika katika ukumbi wa Mwalimu Nyerere uliopo katika Taasisi… Read more »
Mapema Leo Rais wa umoja wa visiwa vya Comoro Bw. Azali Assoumani ametembelea kambi maalum ya madaktari bingwa iliyofika katika mji wa Anjouan na kuzungumza na madaktari hao. Akizungumza marabaada… Read more »
Timu ya madaktari bingwa na ubingwa bobezi waingia nchini Comoro kutekeleza agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
Timu ya madaktari bingwa na ubingwa bobezi waingia nchini Comoro kutekeleza agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu HassanTimu ya madaktari bingwa na ubingwa bobezi kutoka Taasisi ya Saratani Ocean Road inatarajia kuelekea Comoro kwaajili ya kutekeleza agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt…. Read more »
Ambapo katika kurahisisha shughuli hiyo wamekutana na wadau wa sekta binafsi kutoka Global Medicare kujadili namna ya kushirikiana katika kuitikia wito wa Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan. Akizungumza katika… Read more »
“Wauguzi wanatakiwa kuiga falsafa za Florence Nightingale” hayo ameyasema leo Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Saratani Ocean Road Dkt. Diwani Msemo katika maadhimisho ya siku ya wauguzi ngazi ya tawi… Read more »
Na WAF – Songea, Ruvuma Wananchi zaidi ya 900 wamepatiwa huduma za uchunguzi na matibabu ya ugonjwa wa saratani bila malipo katika Hospitali ya MT. Joseph Peramiho, huduma ambazo kutolewa… Read more »
Waziri wa afya Mhe. Jenista Mhagama ametembelea katika Taasisi ya Saratani Ocean Road kuona utoaji huduma za tiba mionzi zinavyoendelea katika Taasisi kwa wagonjwa wa saratani. Mh. Mhagama amejionea kukamilika… Read more »
ytubemp3donustur.com pusulabet casino betoovis.com hiltonbet mavibet.com.tr milosbet giriş istanbul masöz kalebet trwin betadonis beinwon.info vbettr 1venusbet.com betitbet.com.tr olipsbet giriş betandyou