KILELE CHA MKUTANO WA KIMATAIFA WA KISAYANSI WA MAGONJWA YASIYOAMBUKIZA KATIKA UKUMBI WA MIKUTANO WA JULIUS NYERERE DAR ES SALAAM

      Comments Off on

KILELE CHA MKUTANO WA KIMATAIFA WA KISAYANSI WA MAGONJWA YASIYOAMBUKIZA KATIKA UKUMBI WA MIKUTANO WA JULIUS NYERERE DAR ES SALAAM

Leo ikiwa ni kilele Cha mkutano wa kimataifa wa kisayansi wa magonjwa yasiyoambukiza katika ukumbi wa mikutano wa Julius Nyerere Dar es Salaam.

Katika mkutano huo madaktari kutoka Taasisi ya Saratani Ocean Road nao wamepata nafasi ya kuwasilisha mada zao.

Madaktari hao Ni Dkt. Harrieth Noah, Dkt. Felister Tupa na Dkt. Goodfrey Malangwa.

Pia wakati huo huo wa mikutano Banda la Taasisi ya Saratani Ocean Road limekuwa likitoa Elimu kuhusiana na Saratani.

Aidha ikumbukwe kuwa Taasisi ya Saratani Ocean Road hivi karibuni imepokea tuzo ya heshima ya kutambulika mchango wake katika kutoa elimu, kufanya uchunguzi na matibabu ya Saratani.