SIKU YA SARATANI DUNIANI (4 Feb, 2023)

      Comments Off on

SIKU YA SARATANI DUNIANI (4 Feb, 2023)

Mambo makubwa manne kwa siku ya leo toka kwa mkurugenzi wa Taasisi ya Saratani Ocean Road, Dkt. JuliusMwaiselage.

  1. Shukrani kwa Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuimarisha matibabu kwa kutuletea vifaa tiba vya kutosha kwaajili ya watanzania.
  2. Bima ya Afya kwa wote itasaidia wananchi kuweza kupata matibabu kwa urahisi, hivyo pindi itakapopitishwa tu tuharakishe kujiunga ili kuokoa maisha ya watanzania hasa wa hali ya chini
  1. Siku ya kuadhimisha mapambano dhidi ya Saratani, watanzania wahakikishe wanapata taarifa sahihi kuhusu Saratani.
  2. Shukrani kwa CRDB kwa kutusaidia kuhusu kupata kituo cha mawasiliano cha hudu.a kwa mteja, hii itasaidia kutoa taarifa sahihi kwa watanzania kuhusu huduma zetu za saratani.