![](https://www.orci.or.tz/oagrydee/2023/02/WhatsApp-Image-2023-02-04-at-02.57.19-2-1024x577.jpeg)
![](https://www.orci.or.tz/oagrydee/2023/02/WhatsApp-Image-2023-02-04-at-02.57.19-1-1024x577.jpeg)
![](https://www.orci.or.tz/oagrydee/2023/02/WhatsApp-Image-2023-02-04-at-02.57.19-1024x577.jpeg)
![](https://www.orci.or.tz/oagrydee/2023/02/WhatsApp-Image-2023-02-04-at-02.57.20-1-1024x576.jpeg)
![](https://www.orci.or.tz/oagrydee/2023/02/WhatsApp-Image-2023-02-04-at-02.57.20-1024x576.jpeg)
Mambo makubwa manne kwa siku ya leo toka kwa mkurugenzi wa Taasisi ya Saratani Ocean Road, Dkt. JuliusMwaiselage.
- Shukrani kwa Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuimarisha matibabu kwa kutuletea vifaa tiba vya kutosha kwaajili ya watanzania.
- Bima ya Afya kwa wote itasaidia wananchi kuweza kupata matibabu kwa urahisi, hivyo pindi itakapopitishwa tu tuharakishe kujiunga ili kuokoa maisha ya watanzania hasa wa hali ya chini
- Siku ya kuadhimisha mapambano dhidi ya Saratani, watanzania wahakikishe wanapata taarifa sahihi kuhusu Saratani.
- Shukrani kwa CRDB kwa kutusaidia kuhusu kupata kituo cha mawasiliano cha hudu.a kwa mteja, hii itasaidia kutoa taarifa sahihi kwa watanzania kuhusu huduma zetu za saratani.
![](https://www.orci.or.tz/oagrydee/2023/02/WhatsApp-Image-2023-02-04-at-03.02.45-1024x577.jpeg)
![](https://www.orci.or.tz/oagrydee/2023/02/WhatsApp-Image-2023-02-04-at-03.02.17-2-1024x577.jpeg)
![](https://www.orci.or.tz/oagrydee/2023/02/WhatsApp-Image-2023-02-04-at-03.02.17-1024x577.jpeg)
![](https://www.orci.or.tz/oagrydee/2023/02/WhatsApp-Image-2023-02-04-at-03.02.16-1024x577.jpeg)