Category: News&Event

KAMPUNI YA FASTHUB SOLUTION WAJITOKEZA KUFANYIWA UCHUCHUZI WA AWALI WA SARATANI YA MATITI KATIKA TAASISI YA SARATANI YA OCEAN ROAD

      Comments Off on

KAMPUNI YA FASTHUB SOLUTION WAJITOKEZA KUFANYIWA UCHUCHUZI WA AWALI WA SARATANI YA MATITI KATIKA TAASISI YA SARATANI YA OCEAN ROAD

Kampuni ya fasthub Solution inayojishughulisha na masuala mbalimbali ya mawasiliano ikiwamo utumaji wa msg za jumla kwa watu wengi (bulk msg) mapema leo wamefika katika Taasisi ya Saratani Ocean Road… Read more »

MKURUGENZI MTENDAJI WA TAASISI YA SARATANI OCEAN ROAD AKIZUNGUMZA NA WAGONJWA KUHUSU BIMA YA AFYA KWA WOTE NA NAMNA AMBAVYO ITAKAVYOWEZA KUWASAIDIA

      Comments Off on

MKURUGENZI MTENDAJI WA TAASISI YA SARATANI OCEAN ROAD AKIZUNGUMZA NA WAGONJWA KUHUSU BIMA YA AFYA KWA WOTE NA NAMNA AMBAVYO ITAKAVYOWEZA KUWASAIDIA

Mkurugenzi mtendaji wa Taasisi ya Saratani Ocean Road, Dkt. Julius Mwaiselage, asubuhi ya leo amewafikia wateja zaidi ya 340 katika maeneo mbalimbali ya kusubiria wagonjwa katika Taasisi hiyo alipokuwa akizungumza… Read more »

54 WAKUTWA NA VIASHIRIA VYA SARATANI ARUSHA.

      Comments Off on

54 WAKUTWA NA VIASHIRIA VYA SARATANI ARUSHA.

Idadi ya watu 54 wamekutwa na viashiria vya Saratani mbalimbali katika kampeni ya uchunguzi wa awali wa Saratani jijini Arusha. Akizungumza katika kampeni hiyo, Meneja kitengo cha uchunguzi wa Saratani,… Read more »

MAPEMA LEO TAASISI YA SARATANI OCEAN ROAD KWA KUSHIRIKIANA NA CHAMA CHA MADAKTARI TANZANIA, WAMEFANYA UCHUNGUZI WA SARATANI MBALI MBALI KATIKA VIWANJA VYA AZIMIO MJINI ARUSHA

      Comments Off on

MAPEMA LEO TAASISI YA SARATANI OCEAN ROAD KWA KUSHIRIKIANA NA CHAMA CHA MADAKTARI TANZANIA, WAMEFANYA UCHUNGUZI WA SARATANI MBALI MBALI KATIKA VIWANJA VYA AZIMIO MJINI ARUSHA

Mapema Leo Taasisi ya Saratani Ocean Road kwa kushirikiana na Chama cha madaktari Tanzania, wamefanya uchunguzi mkubwa wa Saratani mbali mbali katika viwanja vya Azimio mjini Arusha ambapo imeanza kufanyika… Read more »