Kipimo cha damu chaibua wanaume 8% viashiria saratani tezidume – Njombe
Wanaume tisa sawa na asilimia 8 ya wanaume 103 waliojitokeza kwenye kampeni maalum ya uchunguzi wa awali kwa magonjwa ya saratani, wamekutwa na saratani ya tezidume, Mkoani Njombe. Kampeni hiyo… Read more »

Wananchi wajitokeza kampeni ya saratani Njombe
Wanaume tisa wakutwa na viashiria vya Saratani ya tezi dume ambao ni sawa na Asilimia 17 ya waliojitokeza kwenye kampeni ya uchunguzi wa saratani ya tezi dume mkoani Njombe.Hayo yamebainishwa… Read more »

Nilipokutwa na saratani ya titi, ‘nilikata tamaa ya maisha, ila miaka kumi baadae…’ – Lucy
Bwana: Majibu ya maabara kwamba amekutwa na saratani ya matiti iliyofikia hatua ya tatu, miaka 11 iliyopita haikuwa rahisi kwa Lucy kuyapokea.Daktari wake alipomjulisha juu ya majibu hayo, fikira zake… Read more »

Ebeneza Women Group wawafariji wagonjwa waliolazwa Ocean Road
Kikundi cha kina-mama ‘Ebeneza Women Group’ kimewatembelea, kuwajulia hali na kuwafariji wagonjwa waliolazwa katika Taasisi ya Saratani Ocean Road (ORCI), iliyoko Mkoani hapa. Mapema leo baadhi ya wanachama wa hicho… Read more »

Mkurugenzi Ocean Road akemea unyanyapaa kwa wanawake walioondolewa matiti kutibu saratani
Na Mwandishi Maalum (ORCI) – Dar es SalaamMkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Saratani Ocean Road {ORCI}, Dk. Julius Mwaiselage amekemea tabia ya baadhi ya wanajamii kuwanyanyapaa wagonjwa wa saratani hasa… Read more »

Teknolojia: Vitanda vya kisasa vya umeme, matibabu kwa wagonjwa Ocean Road
Vitanda viwili vilivyoundwa kwa teknolojia ya kisasa, vikitumia nishati ya umeme, inayosaidia kurahisisha na kuchochea ufanisi wa matibabu kwa wagonjwa waliolazwa wodini, vimekabidhiwa kwa Taasisi ya Saratani Ocean Road (ORCI).Msaada… Read more »

Saratani ya Ovari inavogharimu waliochelewa kuzaa, wanene kuondolewa kizazi
Ni saratani nadra kutokea duniani, mwanamke mwenye saratani hii {ovarian cancer} mara nyingi huchelewa kugundulika mapema na hata wale wachache wanaogundulika hukutwa ugonjwa umefikia kiwango cha juu, ngumu kutibika.Hali hiyo… Read more »
Kikao cha pili cha Baraza la Tano la Wafanyakazi wa Taasisi ya Saratani Ocean Road. Ukumbi wa Edema, Morogoro 04/06/2021
Wajumbe wa Baraza la tano la wafanyakazi wa Taasisi ya Saratani Ocean Road walikutana na kufanya mkutano wa pili wa mwaka 2020/2021 katika ukumbi wa mkutano wa Edema mkoani Morogoro… Read more »