Author Archives:
ON 12TH DECEMBER 2022, A HEALTH MEETING WAS CONVENED TO DISCUSS POSSIBLE COLLABORATION BETWEEN TANZANIA AND HEALTH STAKEHOLDERS FROM THE UNITED STATES ON THE ESTABLISHMENT OF CENTRE OF EXCELLENCE ON ONCOLOGY IN TANZANIA
On 12th December 2022, a health meeting was convened to discuss possible collaboration between Tanzania and health stakeholders from the United States on the establishment of Centre of Excellence on… Read more »
NAIBU KATIBU MKUU WIZARA YA AFYA DKT. SEIF SHEKALAGHE AMESEMA KUWA TAASISI YA SARATANI OCEAN ROAD INATAKIWA IJIKITE KATIKA TAFITI ZA SARATANI PAMOJA NA KUTOA ELIMU YA UELEWA WA SARATANI KWA JAMII
Naibu katibu mkuu wizara ya Afya Dkt. Seif Shekalaghe amesema kuwa Taasisi ya Saratani Ocean Road inatakiwa ijikite katika Tafiti za Saratani pamoja na kutoa Elimu ya kutosha kwa jamii… Read more »

UJENZI ICU YA KISASA WAFIKIA 99%, MRI 100% HUDUMA ZA TIBA ZAZIDI KUMAILIKA KATIKA TAASISI YA SARATANI OCEAN ROAD(ORCI)
Bodi ya wadhamini katika Taasisi ya Saratani Ocean Road leo majira ya asubuhi wametembelea Miradi kadhaa inayotekelezwa kupitia fedha za IMF katika Taasisi hiyo. Akizungumza wakati anatoa taarifa fupi kuhusu… Read more »

KAMPUNI YA FASTHUB SOLUTION WAJITOKEZA KUFANYIWA UCHUCHUZI WA AWALI WA SARATANI YA MATITI KATIKA TAASISI YA SARATANI YA OCEAN ROAD
Kampuni ya fasthub Solution inayojishughulisha na masuala mbalimbali ya mawasiliano ikiwamo utumaji wa msg za jumla kwa watu wengi (bulk msg) mapema leo wamefika katika Taasisi ya Saratani Ocean Road… Read more »

MKURUGENZI MTENDAJI WA TAASISI YA SARATANI OCEAN ROAD AKIZUNGUMZA NA WAGONJWA KUHUSU BIMA YA AFYA KWA WOTE NA NAMNA AMBAVYO ITAKAVYOWEZA KUWASAIDIA
Mkurugenzi mtendaji wa Taasisi ya Saratani Ocean Road, Dkt. Julius Mwaiselage, asubuhi ya leo amewafikia wateja zaidi ya 340 katika maeneo mbalimbali ya kusubiria wagonjwa katika Taasisi hiyo alipokuwa akizungumza… Read more »
54 WAKUTWA NA VIASHIRIA VYA SARATANI ARUSHA.

Idadi ya watu 54 wamekutwa na viashiria vya Saratani mbalimbali katika kampeni ya uchunguzi wa awali wa Saratani jijini Arusha. Akizungumza katika kampeni hiyo, Meneja kitengo cha uchunguzi wa Saratani,… Read more »
TUTASHUGHULIKIA CHANGAMOTO ZOTE ZA SARATANI – MH. UMMY MWALIMU
Mh. Ummy Mwalimu ameahidi kushighulikia changamoto zozote zitakazojitokeza za Saratani katika nchi ya Tanzania ikiwamo na uwekaji wa mikaka madhubuti ili kuweza kuudhi its ugonjwa huo. Akizungumza katika hafla ya… Read more »
RIPOTI YA ZOEZI LA UCHUNGUZI WA SARATANI MKOANI ARUSHA 24 – 26 SEPT 2022.
Uchunguzi wa saratani ya mlango wa kizazi jumla ya wanawake 221Waliokutwa na mabadiliko ya awali na kupewa tiba. 16Waliokutwa na viashiria vya saratani na kuchukuliwa vipimo kwa uchunguzi zaidi katika… Read more »

MAPEMA LEO TAASISI YA SARATANI OCEAN ROAD KWA KUSHIRIKIANA NA CHAMA CHA MADAKTARI TANZANIA, WAMEFANYA UCHUNGUZI WA SARATANI MBALI MBALI KATIKA VIWANJA VYA AZIMIO MJINI ARUSHA
Mapema Leo Taasisi ya Saratani Ocean Road kwa kushirikiana na Chama cha madaktari Tanzania, wamefanya uchunguzi mkubwa wa Saratani mbali mbali katika viwanja vya Azimio mjini Arusha ambapo imeanza kufanyika… Read more »