Kikundi cha kina-mama ‘Ebeneza Women Group’ kimewatembelea, kuwajulia hali na kuwafariji wagonjwa waliolazwa katika Taasisi ya Saratani Ocean Road (ORCI), iliyoko Mkoani hapa. Mapema leo baadhi ya wanachama wa hicho… Read more »
Na Mwandishi Maalum (ORCI) – Dar es SalaamMkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Saratani Ocean Road {ORCI}, Dk. Julius Mwaiselage amekemea tabia ya baadhi ya wanajamii kuwanyanyapaa wagonjwa wa saratani hasa… Read more »
Vitanda viwili vilivyoundwa kwa teknolojia ya kisasa, vikitumia nishati ya umeme, inayosaidia kurahisisha na kuchochea ufanisi wa matibabu kwa wagonjwa waliolazwa wodini, vimekabidhiwa kwa Taasisi ya Saratani Ocean Road (ORCI).Msaada… Read more »
Ni saratani nadra kutokea duniani, mwanamke mwenye saratani hii {ovarian cancer} mara nyingi huchelewa kugundulika mapema na hata wale wachache wanaogundulika hukutwa ugonjwa umefikia kiwango cha juu, ngumu kutibika.Hali hiyo… Read more »
Wajumbe wa Baraza la tano la wafanyakazi wa Taasisi ya Saratani Ocean Road walikutana na kufanya mkutano wa pili wa mwaka 2020/2021 katika ukumbi wa mkutano wa Edema mkoani Morogoro… Read more »
Baadhi ya wataalamu wa Taasisi ya Saratani Ocean Road (ORCI), iliyopo Jijini Dar es Salaam, wapo mkoani Tabora kwa kambi ya siku sita inayojumuisha mafunzo sambamba na uchunguzi wa awali… Read more »
ZIARA YA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA HUDUMA NA MAENDELEO YA JAMII. Kamati ya kudumu ya bunge ya huduma na maendeleo ya Jamii chini ya Mwenyekiti Mhe. Stanslaus Nyongo… Read more »