Author Archives:

TAASISI YA SARATANI OCEAN ROAD MAPEMA LEO IMEPOKEA TUZO YA HESHIMA YA KUTAMBUA MCHANGO WAKE KATIKA KUONA NAMNA GANI IMESHIRIKI KWENYE KUTOA ELIMU…

      Comments Off on

TAASISI YA SARATANI OCEAN ROAD MAPEMA LEO IMEPOKEA TUZO YA HESHIMA YA KUTAMBUA MCHANGO WAKE KATIKA KUONA NAMNA GANI IMESHIRIKI KWENYE KUTOA ELIMU…

Taasisi ya Saratani Ocean Road mapema leo imepokea tuzo ya heshima ya kutambua mchango wake katika kuona namna gani imeshiriki kwenye kutoa elimu, kufanya uchunguzi pamoja na matibabu ya magonjwa… Read more »

UCHUNGUZI WA MAPEMA WA SARATANI YA MLANGO WA KIZAZI PAMOJA NA CHANJO YA PAPILLOMA VIRUS ITASAIDIA KATIKA MAPAMBANO DHIDI YA SARATANI YA MLANGO WA KIZAZI

      Comments Off on

UCHUNGUZI WA MAPEMA WA SARATANI YA MLANGO WA KIZAZI PAMOJA NA CHANJO YA PAPILLOMA VIRUS ITASAIDIA KATIKA MAPAMBANO DHIDI YA SARATANI YA MLANGO WA KIZAZI

“Uchunguzi wa mapema wa Saratani ya mlango wa kizazi pamoja na chanjo ya papilloma virus itasaidia katika mapambano dhidi ya Saratani ya mlango wa kizazi”. Hayo yamesemwa na mtaalamu kutoka… Read more »

KILELE CHA MKUTANO WA KIMATAIFA WA KISAYANSI WA MAGONJWA YASIYOAMBUKIZA KATIKA UKUMBI WA MIKUTANO WA JULIUS NYERERE DAR ES SALAAM

      Comments Off on

KILELE CHA MKUTANO WA KIMATAIFA WA KISAYANSI WA MAGONJWA YASIYOAMBUKIZA KATIKA UKUMBI WA MIKUTANO WA JULIUS NYERERE DAR ES SALAAM

Leo ikiwa ni kilele Cha mkutano wa kimataifa wa kisayansi wa magonjwa yasiyoambukiza katika ukumbi wa mikutano wa Julius Nyerere Dar es Salaam. Katika mkutano huo madaktari kutoka Taasisi ya… Read more »

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Saratani Ocean Road Dkt.Julius Mwaiselage leo amepokea msaada wa millioni arobaini kutoka Bodi ya michezo ya kubahatisha Tanzania (GBT).

      Comments Off on

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Saratani Ocean Road Dkt.Julius Mwaiselage leo amepokea msaada wa millioni arobaini kutoka Bodi ya michezo ya kubahatisha Tanzania (GBT).

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Saratani Ocean Road Dkt.Julius Mwaiselage leo amepokea msaada wa millioni arobaini kutoka Bodi ya michezo ya kubahatisha Tanzania (GBT). Bodi ya michezo ya kubahatisha Tanzania… Read more »

TAASISI YA SARATANI YA OCEAN ROAD IMEANZA KUTOA HUDUMA YA MIONZI TIBA YA NDANI KWA NJIA YA KISASA (3D INTRACAVITARY BRACHYTHERAPY)

      Comments Off on

TAASISI YA SARATANI YA OCEAN ROAD IMEANZA KUTOA HUDUMA YA MIONZI TIBA YA NDANI KWA NJIA YA KISASA (3D INTRACAVITARY BRACHYTHERAPY)

Taasisi ya Saratani ya Ocean Road imeanza kutoa huduma ya mionzi tiba ya ndani kwa njia ya kisasa (3D INTRACAVITARY BRACHYTHERAPY) kwa wagonjwa wa saratani ya mlango wa kizazi. Hayo yamesemwa… Read more »

SERIKALI YAIMARISHA HUDUMA ZA MATIBABU YA NYUKLIA

      Comments Off on

SERIKALI YAIMARISHA HUDUMA ZA MATIBABU YA NYUKLIA

SERIKALI YAIMARISHA HUDUMA ZA MATIBABU YA NYUKLIA – DKT UBUGUYU. Serikali ya Jamhuri ya Muungano Tanzania inayoongozwa na Mhe Dk.Samia Suluhu Hassan imeimarisha huduma za matibabu yuklia yakihusisha uchunguzi na… Read more »