Idadi ya watu 54 wamekutwa na viashiria vya Saratani mbalimbali katika kampeni ya uchunguzi wa awali wa Saratani jijini Arusha. Akizungumza katika kampeni hiyo, Meneja kitengo cha uchunguzi wa Saratani,… Read more »
Mh. Ummy Mwalimu ameahidi kushighulikia changamoto zozote zitakazojitokeza za Saratani katika nchi ya Tanzania ikiwamo na uwekaji wa mikaka madhubuti ili kuweza kuudhi its ugonjwa huo. Akizungumza katika hafla ya… Read more »
Uchunguzi wa saratani ya mlango wa kizazi jumla ya wanawake 221Waliokutwa na mabadiliko ya awali na kupewa tiba. 16Waliokutwa na viashiria vya saratani na kuchukuliwa vipimo kwa uchunguzi zaidi katika… Read more »
Mapema Leo Taasisi ya Saratani Ocean Road kwa kushirikiana na Chama cha madaktari Tanzania, wamefanya uchunguzi mkubwa wa Saratani mbali mbali katika viwanja vya Azimio mjini Arusha ambapo imeanza kufanyika… Read more »
Maafisa kutoka Wizara ya Mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa walimbatana na Balozi wa India nchini Tanzania pamoja na wawakilishi wa kutoka Hospitali mbalimbali nchini India mapema leo wametembelea… Read more »
Ilala Afya Center kwa kushirikiana na Taasisi ya Saratani Ocean Road wameendelea kutoa huduma mbalimbali za Afya ikiwamo kupima Saratani mbalimbali katika Hospitali ya wilaya ya wete ndani ya visiwa… Read more »
Mganga mkuu wa manispaa ya mpanda Dr. Paul Swakala ameishukuru Taasisi ya Saratani Ocean Road kwa kuweza kufanya maamuzi ya kufika na kuwahudumia kwa vipimo wananchi na wakaazi wa manispaa… Read more »
Waziri wa Afya Mh. Ummy mwalimu ameipongeza Taasisi ya Saratani Ocean Road kwa kuamua kuhamasisha watu kupata chanjo ya UVIKO-19 Akizungumza ndani ya viwanja vya maonesho ya kimataifa ya kibiashara… Read more »