Category: News&Event

MKURUGENZI WA HUDUMA ZA TIBA KUTOKA WIZARA YA AFYA PROF. PASCHAL RUGAJO,MAPEMA LEO AMETEMBELEA KATIKA KITUO KIPYA KILICHOSIMIKWA MASHINE ZA CYCLOTRON PAMOJA NA PET-CT SCAN

      Comments Off on

MKURUGENZI WA HUDUMA ZA TIBA KUTOKA WIZARA YA AFYA PROF. PASCHAL RUGAJO,MAPEMA LEO AMETEMBELEA KATIKA KITUO KIPYA KILICHOSIMIKWA MASHINE ZA CYCLOTRON PAMOJA NA PET-CT SCAN

Mkurugenzi wa huduma za Tiba kutoka wizara ya Afya Prof. Paschal Rugajo, (Picha ya kwanza kushoto) mapema leo ametembelea katika kituo kipya kilichosimikwa mashine za Cyclotron pamoja na PET-CT SCAN… Read more »

MWENYEKITI WA BARAZA LA WAFANYAKAZI WA TAASISI YA SARATANI OCEAN ROAD DKT. JULIUS MWAISELAGE AMESEMA MAAZIMIO KARIBU YOTE YALIYOWEKWA KATIKA KIKAO KILICHOPITA CHA BARAZA YAMEKAMILIKA

      Comments Off on

MWENYEKITI WA BARAZA LA WAFANYAKAZI WA TAASISI YA SARATANI OCEAN ROAD DKT. JULIUS MWAISELAGE AMESEMA MAAZIMIO KARIBU YOTE YALIYOWEKWA KATIKA KIKAO KILICHOPITA CHA BARAZA YAMEKAMILIKA

Mwenyekiti wa Baraza la wafanyakazi wa Taasisi ya Saratani Ocean Road Dkt. Julius Mwaiselage amesema maazimio karibu yote yaliyowekwa katika kikao kilichopita Cha Baraza yamekamilika na kubaki maazimio machache ambayo… Read more »

WAJUMBE WA KAMATI YA UTEKELEZAJI WILAYA,JUMUIYA YA WAZAZI WA CCM IKIONGOZWA NA MWENYEKITI WA TAASISI YA MWALIMU NYERERE FOUNDATION WAMEFANYA ZIARA MAALUM KATIKA TAASISI YA SARATANI OCEAN ROAD

      Comments Off on

WAJUMBE WA KAMATI YA UTEKELEZAJI WILAYA,JUMUIYA YA WAZAZI WA CCM IKIONGOZWA NA MWENYEKITI WA TAASISI YA MWALIMU NYERERE FOUNDATION WAMEFANYA ZIARA MAALUM KATIKA TAASISI YA SARATANI OCEAN ROAD

Wajumbe wa kamati ya utekelezaji wilaya, jumuiya ya wazazi wa chama Cha mapinduzi (CCM) wilaya ya Ilala ikiongozwa na Mwenyekiti wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere Foundation Mhe. Joseph. W. Butiku… Read more »

Dkt Mwaiselage akabidhi Makombe kwa bodi ya udhamini.

      Comments Off on

Dkt Mwaiselage akabidhi Makombe kwa bodi ya udhamini.

Dkt Mwaiselage akabidhi Makombe kwa bodi ya udhamini. Na Mwandishi wetu. Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Saratani Ocean Road Dkt Julius Mwaiselage amekabidhi makombe matatu yaliyopatikana katika mashindano ya MEI… Read more »

TAASISI YA SARATANI OCEAN ROAD LEO KATIKA KILELE CHA MAAZIMISHO YA SIKU YA MWANAMKE DUNIANI IMEPOKEA MISAADA MBALIMBALI KUTOKA KWA WANAWAKE WA TAASISI NA IDARA MBALIMBALI

      Comments Off on

TAASISI YA SARATANI OCEAN ROAD LEO KATIKA KILELE CHA MAAZIMISHO YA SIKU YA MWANAMKE DUNIANI IMEPOKEA MISAADA MBALIMBALI KUTOKA KWA WANAWAKE WA TAASISI NA IDARA MBALIMBALI

Taasisi ya Saratani Ocean Road leo katika kilele Cha maazimisho ya siku ya Mwanamke Duniani imepokea misaada mbalimbali kutoka kwa wanawake wa Taasisi na idara tofauti tofauti hapa nchini Tanzania… Read more »

MKURUGENZI MTENDAJI WA TAASISI YA SARATANI OCEAN ROAD, DKT. JULIUS MWAISELAGE, AMEWATAKA WANAWAKE KATIKA TAASISI HIYO KUFANYA KAZI KWA BIDII…

      Comments Off on

MKURUGENZI MTENDAJI WA TAASISI YA SARATANI OCEAN ROAD, DKT. JULIUS MWAISELAGE, AMEWATAKA WANAWAKE KATIKA TAASISI HIYO KUFANYA KAZI KWA BIDII…

Mkurugenzi mtendaji wa Taasisi ya Saratani Ocean Road, Dkt. Julius Mwaiselage, amewataka wanawake katika Taasisi hiyo kufanya kazi kwa bidii na kufuata misingi ili kuweza kupata mafanikio zaidi kwenye maisha… Read more »