MAFUNZO KWA WATUMISHI WAPYA WA UMMA KATIKA AASISI YA SARATANI OCEAN ROAD

      Comments Off on

MAFUNZO KWA WATUMISHI WAPYA WA UMMA KATIKA AASISI YA SARATANI OCEAN ROAD

Mkurugenzi wa utawala na Rasilimali watu wa Taasisi ya Saratani Ocean Road Bi. Beatrice Erasto kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi hiyo Dkt.Julius Mwaiselage amewapa vyeti watumishi wapya Leo baada ya kuhitimu Mafunzo.

Mafunzo hayo ya utumishi wa umma yamefanyika kwa muda wa siku tano katika ukumbi wa Mwalimu Nyerere uliopo katika majengo ya Taasisi ya Saratani Ocean Road.