Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Saratani Ocean Road Dkt.Julius Mwaiselage leo amepokea msaada wa millioni arobaini kutoka Bodi ya michezo ya kubahatisha Tanzania (GBT). Bodi ya michezo ya kubahatisha Tanzania… Read more »
Afisa miradi wa shirika la kimataifa la nguvu za Atomic Bi.Aza Kashlan amesema kuwa pamoja na msaada wa mashine walizozitoa kipindi cha nyuma, ila bado wataendelea na kutoa misaada mbalimbali… Read more »
Taasisi ya Saratani ya Ocean Road imeanza kutoa huduma ya mionzi tiba ya ndani kwa njia ya kisasa (3D INTRACAVITARY BRACHYTHERAPY) kwa wagonjwa wa saratani ya mlango wa kizazi. Hayo yamesemwa… Read more »
Naibu waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel leo ametembelea Taasisi ya Saratani Ocean Road na kuzungumza na baadhi ya watumishi, huku akiupongeza uongozi wa Taasisi hiyo kwa kusimamia vizuri pesa… Read more »
Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu amewataka wananchi kufanya uchunguzi wa awali wa kupima Saratani ya Matiti ili kujua hali zao na kupata matibabu mapema kwa wenye changamoto hiyo Waziri… Read more »
Mtaalamu wa Maabara wa Taasisi ya Saratani Ocean Road Bw. Peter Mwevila amesema swala la mawasiliano baina ya watoa huduma za afya ni muhimu katika kupata vipimo sahihi vya mgonjwa…. Read more »
SERIKALI YAIMARISHA HUDUMA ZA MATIBABU YA NYUKLIA – DKT UBUGUYU. Serikali ya Jamhuri ya Muungano Tanzania inayoongozwa na Mhe Dk.Samia Suluhu Hassan imeimarisha huduma za matibabu yuklia yakihusisha uchunguzi na… Read more »
Mkurugenzi wa huduma za Tiba kutoka wizara ya Afya Prof. Paschal Rugajo, (Picha ya kwanza kushoto) mapema leo ametembelea katika kituo kipya kilichosimikwa mashine za Cyclotron pamoja na PET-CT SCAN… Read more »
Usimikaji wa mashine ya PET/CT Scan umefikia hatua nzuri ambapo vifaa vyote vya msingi vimekamilika na kubakia kuunganisha mfumo wa umeme na vifaa vichache ili iweze kufanya kazi kama inavyotarajiwa…. Read more »
Mkurugenzi wa utawala na Rasilimali watu wa Taasisi ya Saratani Ocean Road Bi. Beatrice Erasto kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi hiyo Dkt.Julius Mwaiselage amewapa vyeti watumishi wapya Leo… Read more »