Chama cha wanafunzi cha wafamasia Tanzania (TAPSA) chapter ya MUHAS, jana mapema wamezindua kampeni ya uelimishaji kuhusu kansa ya mlango wa kizazi. Katika warsha hiyo ambayo wameuzulia wanafunzi mbalimbali kutoka… Read more »
Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Prof. Abel Makubi ametembelea wagonjwa wa Taasisi ya Saratani Ocean Road ili kuwajulia hali na kutoa misaada ya sikukuu pamoja na familia yake. Akizungumza mapema… Read more »
Katibu Wizara ya Afya, Prof. Abel Makubi amesema kuwa Serikali katika kupambana na ugonjwa wa Saratani wamejipanga kushirikiana na sekta zingine hasa Wizara ya Elimu na Fedha nchini ili kuwekeza… Read more »
On 12th December 2022, a health meeting was convened to discuss possible collaboration between Tanzania and health stakeholders from the United States on the establishment of Centre of Excellence on… Read more »
Naibu katibu mkuu wizara ya Afya Dkt. Seif Shekalaghe amesema kuwa Taasisi ya Saratani Ocean Road inatakiwa ijikite katika Tafiti za Saratani pamoja na kutoa Elimu ya kutosha kwa jamii… Read more »
Bodi ya wadhamini katika Taasisi ya Saratani Ocean Road leo majira ya asubuhi wametembelea Miradi kadhaa inayotekelezwa kupitia fedha za IMF katika Taasisi hiyo. Akizungumza wakati anatoa taarifa fupi kuhusu… Read more »
Kampuni ya fasthub Solution inayojishughulisha na masuala mbalimbali ya mawasiliano ikiwamo utumaji wa msg za jumla kwa watu wengi (bulk msg) mapema leo wamefika katika Taasisi ya Saratani Ocean Road… Read more »
Mkurugenzi mtendaji wa Taasisi ya Saratani Ocean Road, Dkt. Julius Mwaiselage, asubuhi ya leo amewafikia wateja zaidi ya 340 katika maeneo mbalimbali ya kusubiria wagonjwa katika Taasisi hiyo alipokuwa akizungumza… Read more »
Idadi ya watu 54 wamekutwa na viashiria vya Saratani mbalimbali katika kampeni ya uchunguzi wa awali wa Saratani jijini Arusha. Akizungumza katika kampeni hiyo, Meneja kitengo cha uchunguzi wa Saratani,… Read more »